Kim Kardashian na Kanye West kupata mtoto wa 3

Kim Kardashian West na mumewe Kanye West wamethibitisha kwamba watapata mtoto mwengine kutoka kwa mama anayebeba mimba kwa niaba yao Mwish...
Read More

Beyonce kutoa mapato yote ya remix ya wimbo Mi Gente kusaidia watu Puerto Rico.

Staa wa muziki nchini Marekani Beyonce amesema atatoa pesa zote zitakazopatikana kwenye mauzo ya Remix ya wimbo wa J Balvin na Willy Willi...
Read More

50 Cent aelezea alivyokataa Dola Laki Tano za Donald Trump ili kutokea kwenye kampeni Zake

Rapa na mfanya biashara maarufu 50 Cent amefunguka jinsi alivyokataa kulipwa dola laki tano ‘$500,000’ na Donald Trump ili kutokea kwenye ...
Read More

Sholo mwamba aitaja sababu ya ugomvi wa Young D vs Janjaro

Msanii wa Singeli bongo Sholo Mwamba ametoa siri ambayo wengi walikuwa hawafahamu juu ya ugomvi wa Young Dee na Dogo Janja na kusema Muna lo...
Read More

Rihanna amkumbusha Rais Donald Trump Kuhusu kutoa misaada Puerto Rico

Staa wa muziki USA, Rihanna amejiunga na msanii Marc Anthony katika harakati za kumshtua Rais Donald Trump kuanza kusaidia watu walioathi...
Read More

Baada ya kuweka rekodi mpya ‘Views Milioni 1 ndani ya Saa 15’ Diamond Platnumz ameandika Maneno Haya

Staa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania Diamond Platnumz amefanikiwa kuweka Rekodi mpya ya Watazamaji wa video za wasanii kwenye mtandao wa Yout...
Read More

Mbaraka Yusuph asema Kila mechi kwao ni Fainali

Mshambuliaji tegemeo wa Azam FC, Mbaraka Yussuf amesema kila mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kwao ni kama fainali. Mbaraka Yussuf...
Read More

Pingamizi la utetezi lazua mapya kesi ya mmiliki Lucky Vincent

Arusha. Kesi inayomkabili mmiliki wa Shule ya Lucky Vincent, Innocent Moshi na makamu mkuu wa shule hiyo, Longino Mkama imekwama kusikilizwa...
Read More

Team ya Nigeria kufika Dar kujua hatima yake

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya wasichana wenye umri wa chini ya miaka 20 ya Nigeria ‘Falconets’ inatarajiwa kutua nchini usiku wa kumkia...
Read More

Mbunge wa CHADEMA apandishwa Mahakamani

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amefikishwa Mahakamani leo kwa kutuhumiwa kwa kosa la kumtusi na kumtishia maisha aliyekuwa d...
Read More

UKARIBU WA MBAPPE NA NEYMAR WAANZA KUTOA TASWIRA MPYA NDANI YA PSG

Mshambuliaji raia wa ufaransa ambaye ameuzwa kwa mkopo kwenye klabu ya PSG amefanya mazoezi kwa mara ya kwanza akiwa na kikosi hicho huku ak...
Read More

Amber Lulu adai Amber Rutty kamzidi kwa picha za utupu

Msanii wa Bongo Flava na video vixen, Amber Lulu amedai anachokifanya sasa video vixen mwenzie Amber Rutty katika mitandao ya kijamii kwa ku...
Read More

Papa Francis kuwasili Colombia kwa ziara ya siku tano

Papa Francis kuwasili Colombia kwa ziara ya siku tano Kuelekea ziara hiyo, waasi wa ELN ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini humo, wamekubal...
Read More

Kimbunga Irma chasababisha uharibifu mkubwa huko Caribbean

Kimbunga kikali kwa Jina Irma kimesababisha uharibifu mkubwa katika eneo la Caribbean ambapo takriban watu saba wameuawa. Kisiwa kidogo ch...
Read More