Baada ya kuweka rekodi mpya ‘Views Milioni 1 ndani ya Saa 15’ Diamond Platnumz ameandika Maneno Haya

Staa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania Diamond Platnumz amefanikiwa kuweka Rekodi mpya ya Watazamaji wa video za wasanii kwenye mtandao wa Youtube baada ya video yake kutazamwa na watu zaidi ya Milioni 1 ndani ya Masaa 15.
Previous
Next Post »