Baada ya kuweka rekodi mpya ‘Views Milioni 1 ndani ya Saa 15’ Diamond Platnumz ameandika Maneno Haya September 29, 2017 Staa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania Diamond Platnumz amefanikiwa kuweka Rekodi mpya ya Watazamaji wa video za wasanii kwenye mtandao wa Youtube baada ya video yake kutazamwa na watu zaidi ya Milioni 1 ndani ya Masaa 15. Share Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email