Sign up here with your email
Papa Francis kuwasili Colombia kwa ziara ya siku tano
Papa Francis kuwasili Colombia kwa ziara ya siku tano
Kuelekea ziara hiyo, waasi wa ELN ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini humo, wamekubali kuweka silaha chini kwa muda na kufanya mazungumzo ya amani,tukio ambali Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ameliita ni miujiza kabla ya ujio wa Papa.
Katika ziara yake ya siku tano, anatarajiwa kugusia mazungumzo ya amani yaliyofikiwa mwaka jana kati ya serikali na kikosi cha waasi cha Farc.