Aidha Waziri Jenista Mhagama amewataka vijana kila sehemu kwenda kwenye ofisi za Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa ili waweze kuwaeleza ni kwa kiasi gani wameanza kuratibu mpango huo wa kuwa na kilimo cha kisasa kwa kila wilaya na kila mkoa kwa vijana.
Sign up here with your email