Dogo Janja kuhusu kabla ya ndoa>>Mwenyezi Mungu yuko mbele ya kila kitu changu ata wakati niko na Irene nilikuwa nasali Mwenyezi Mungu anipe mke bora.
Dogo Janja kuhusu kitu alichokiona kwa Irene>Nilichokiona kwa Irene Uwoya, anafaa kuwa Mama wa familia yangu, ni mwanamke ambaye nje ya ustaa wake anafaa kuwa Mama wa nyumbani kabisa
Dogo Janja kuhusu ushawishi kwa jamii>Mimi kumuowa Irene nimeishawishi jamii na vijana nao sasa wamekuwa sio waoga.
Dogo Janja kuhusu Irene Uwoya kubadili dini>Irene alibadili dini wiki tatu kabla ya kufunga ndoa
Dogo Janja kuhusu ndoa kuwa KIKI>Watu hawaamini hili tukio kuwa nimewezaje, mwisho wa siku watu watasema vitu vingi ila mimi ndiye niliyeoa na ndiye Mume
Dogo Janja kuhusu Posa >Mtu aliyepeleka posa ni Mzee Ally baba yake Madee na Sheikh aliyefungisha Ndoa ni Chande Omary Chande
Sign up here with your email