RAPPER MEEKMILL MATATANI KUINGIA JELA MIAKA MIWILI

Rapper na mtaalamu wa kuchezea pikipiki kutoka marekani Meekmill yupo matatani kufungwa jela kwa miaka miwili mara baada ya kukutwa na mashtaka mawili mazito. Moja ikiwa ni kukamatwa mapema mwaka huu mwezi March akipigana katika uwanja wa ndege wa St. Louis, na shtaka la pili kukamatwa akiendesha chombo cha moto kwa kasi.
 Mkali huyo ambae ameshawahi kutoka kimapenzi na mwanadada Nicki Minaj huenda akawa anakutwa na mashtaka mengi ya kuendesha pikipiki kwa kasi kutokana na uzoefu wake mwingi wa kutumia vyombo hivyo yeye na kundi lake.
Previous
Next Post »