Hamisa Mobetto amechaguliwa Kuwania Tuzo Za Starqt nchini South Africa

Kupitia IG Yake Hamisa Mobetto ambaye kwa sasa anazungumzia sana Tanzania na Afrika Mashariki kama The new Baby Mama wa Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za Starqt nchini South Africa

Hamisa amechaguliwa kuwania tuzo mbili kwenye Category mbili ambazo ni
1. People’s Choice Award
2. Super Mum

Previous
Next Post »