Msanii dnax asema hamuogopi msanii yeyote wa bongo fleva

Akipiga stori na ukurasa huu Msanii chipukizi kutoka nyanda za juu kusini(njombe) Dnax amesema hamuogopi mtu kwenye game kwani kila mtu ana uwezo wake.

“Hakuna msanii ninaye muogopa kila mtu anauwezo tofauti,naamini nina upekee wangu”aliseme dnax.
Msanii huyo ambaye anauwezo wa kuimba mziki wa aina mbali mbali  kama vile Afropop,zouk,RnB na bongo fleva amesema kwasasa anampango wa kuachia ngoma mpya ndani ya mwezi huu wa kumi na amejipanga vilivyo kuhakikisha kazi atakayo ifanya inadumu masikioni mwa watu.

Kwa sasa dnax anawimbo unaofahamika kwa jina la Tell me.
Previous
Next Post »