Tambua afya yako kupitia mkojo wako

1.mweupe kabisa usio na rangi
-Unakunywa maji mengi
2.manjano ilio changanyika na kijani kidogo
-Ni kawaida una afya na mwili wako una maji ya kutosha
3.Manjano ilio pauka
-upo kawaida tu endelea kunywa maji ya kutosha
4.Njano ilio kolea
-upo kawaida lakini una shauriwa kunywa maji ya kutosha
5.njano inayokaribia kufanana na kahawia(rangi kama ya asali)
-mwili wako hauna maji ya kutosha,kunywa maji kwa wingi sana.
6.Rangin ya kahawia
-huwenda una matatizo kwenye ini lako au una upungufu mkubwa wa maji mwilini.Kunywa maji ya kutosha na umuone daktari kama hali hii itaendelea.

7.Rangi ya pink inayo karibia kuwa kama nyekundu.kama hujala matunda yoyote yenye asili ya uwekundu basi huwenda  una damu kwenye kibofu cha mkojo.Inawezekana ikawa sio ishara mbaya lakini inaweza ikawa ishara ya ugonjwa wa figo,uvimbe,matatizo kwenye njia ya mkojo au matatizo kwenye kibofu.Muone daktari haraka iwezekanavyo.
Previous
Next Post »