Baada ya mafanikio haya Tayari mashabiki wameanza kufananisha tour ya WizKid na ya Davido ’30 billion World Tour’ ambayo pia imekuwa na mafanikio makubwa. Kwa sasa Wizkid ana furahia mafanikio ya colabo aliyopewa na Drake ya ‘One Dance’, iliyotajwa kama wimbo uliosikilizwa zaidi kwenye mtandao wa Spotify September 22 na kuingia kwenye kitabu cha rekodi cha Guinness Book of World Records na pia kuwa msanii kutoka Africa ambaye ambaye amesikilizwa kwenye mtandao wa Spotify mara bilioni 1,379,041,180 na kushika na #57 ya wasanii waliosikilizwa zaidi.
Sign up here with your email